Новое видео

Kikosi cha Simba Sc leo terehe 21 October kimeianza safari kuelekea katika jiji la Cairo pale nchini Misri kujiandaa na mchezo wa marejeano michuano ya African Football League dhidi ya Al Ahly utakao pigwa siku ya tarehe 24 Cairo nchini Misri. Katika hatua hiyo kocha mkuu wa timu ya Simba ameeleza kuwa licha ya ubora wa Al Ahly ila wao wanakwenda kupambana na kupata matokeo mazuri.,
Присоединяйтесь к обсуждению
Новое видео